Thursday, January 1, 2015

Mwaka Mpya Ibada Leo

Nguzo nne za Kanisa ni Neno la Mungu, Imani, Utakatifu &Utii. kama kanisa likijengwa kwa msingi wa Neno la Mungu ambae ni Kichwa cha kanisa yaani Kristo Yesu basi kuzimu halitalivunja hilo kanisa .Tanzania niwakati sasa wa kulijenga kanisa kufuatia nguzo hizi Nne za kanisa.