Tuesday, February 23, 2016

Nabii Okoa Gamba

 Picha kumi na mbili za Nabii Okoa Gamba. Nabii okoa Gamba ni mtumishi ambaye Mungu anamtumia kwa kizazi hiki kipya kwa maana anachimbua siri za shetani anavyo waonea watu kwa kuwafunga na vifungo vya kila aina.Hakika Mungu anajitukuza mahali pale pa hema la Kanisa la Wafalme Kituo Cha Sauti ya Unabii,Tabata Bima.
 Unafikaje Kanisa la Wafalme- Popote ulipo panda gari za Tabata iwe za Kimanga/Segerea&Kinyerezi shuka kituo Tabata Bima Uliza mtaa wa Tenge nyuma ya ofisi za serikali za mitaa utakuwa umefika.

 Hapa Nabii akihubiri na kutabiri ibadani


 Mchungaji Msaidizi Ester akipokea baraka kutoka kwa Nabii
 Mama huyu akishuhudia kile mungu amefanya baada ya kutopata mtoto kwa miaka kumi na  tatu (13) kwa MAOMBI ya Mtumishi wa Mungu Gamba amemzaa mtoto huyu ingawa madakitari walisema anatatizo kizazi chake kimelegea
 Kijana HUYO kila kiungo ndani ya mwili wake kulikuwa kimehalibika kutokana na mateso ya shetani. maini yalioza, Figo zilishindwa kufanya kazi amelala hospitari kipindi cha mwaka mmoja hakupata uponyaji wakamwandikia kwenda India ila hakwenda kwanio alipata neema ya kufika ibadani na Mungu akamponya

 Je shida yako ni nini? futa machozi,usilie BWANA ameona kilio chako mbebeshe yeye fadhaa zako, umechosha na umasikini,umesahaulika,umekataliwa,unaupweke, Njaa, yatima, magonjwa,umeachwa na mmeo au mkeo? Fika NYUMBANI MWA BWANA nawe utapumzishwa kwa hakia Amina ubarikiwe na karibu sana.

No comments:

Post a Comment

Upatanisho, Ukombozi &Upendo