Thursday, November 6, 2014

MZEEWA UPAKO AMIMINA RISASI MTAANI!

TANZANIA YETU: MZEE WA UPAKO AMIMINA RISASI MTAANI!: Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC) Ubungo-Kibangu jijini Dar, Anthony Lusekelo ‘Mzee wa Upako’ akitafakari jambo. Ishu hiyo iliyoja...

Monday, November 3, 2014

Mfahamu Atiosha Kisava

Mwanadada na mtushi wa Mungu Atosha Kisava ambaye naweza kumwelezea kama mhili wa mziki wa Injili Nchini Tanzanzani. Sikiliza aina ya mziki anaoufanya kwa hakika utaungana na mimi  kukubali kwamba ni mbegu nzuri hapa kwetu Tanzani.

Saturday, November 1, 2014

Reform Evangelical Singers

Uzinduzi wa Album  Pigana Nao ni Tar 02 -11-2014. Mahali kanisani Kigogo Police Post

Monday, October 27, 2014

Tamasha La Nguvu

Kwaya ya Reform Evangelical Singers ni siku yao nzuri tar 02 Novemba 2014 ambapo watakuwa wakizindua album yao ya TATU ijulikanayo kama Pigana Nao. Unakaribishwa kwa maelezo zaidi angalia POSTER hii hapa chini

Msalaba MEDIA Out come products























Friday, October 24, 2014

UZINDUZI UZINDUZI UZINDUZI!!!

Kwaya  ya Reform Evangelica Singers tar 02 Novemba Wanazindua Album yao ya Tatu inayoitwa   PIGANA NAO. Mahali ni KANISANI ----- Kigogo  Kanasa la Pentecostal Revival Church.             Kwa Mawasiliano Zaidi                                                                                                                Mob +255- 715 795 814                                                                                                                           Askofu Amani Mwakyeja

Kwa Ushauri Na Maombezi PENTECOSTAL REVIVAL CHURCH (PRC)T

          Kwa wale wenye kuhitaji ushauri namaombezi, karibu kanisani (PRC)T Kwa Askofu Amani Mwakyeja. Kwa mawasiliano zaidi ....... +255-715- 795 814. Piga au tuma SMS utajibiwa. Mungu akubariki na akupe haja ya Moyo wako. Mahali Tulipo Mbezi Msakuzi karibuni nyote na Bwana Mungu awabariki

Bishop Amani Mwakyeja Family