Tuesday, February 23, 2016

Nabii Okoa Gamba

 Picha kumi na mbili za Nabii Okoa Gamba. Nabii okoa Gamba ni mtumishi ambaye Mungu anamtumia kwa kizazi hiki kipya kwa maana anachimbua siri za shetani anavyo waonea watu kwa kuwafunga na vifungo vya kila aina.Hakika Mungu anajitukuza mahali pale pa hema la Kanisa la Wafalme Kituo Cha Sauti ya Unabii,Tabata Bima.
 Unafikaje Kanisa la Wafalme- Popote ulipo panda gari za Tabata iwe za Kimanga/Segerea&Kinyerezi shuka kituo Tabata Bima Uliza mtaa wa Tenge nyuma ya ofisi za serikali za mitaa utakuwa umefika.

 Hapa Nabii akihubiri na kutabiri ibadani


 Mchungaji Msaidizi Ester akipokea baraka kutoka kwa Nabii
 Mama huyu akishuhudia kile mungu amefanya baada ya kutopata mtoto kwa miaka kumi na  tatu (13) kwa MAOMBI ya Mtumishi wa Mungu Gamba amemzaa mtoto huyu ingawa madakitari walisema anatatizo kizazi chake kimelegea
 Kijana HUYO kila kiungo ndani ya mwili wake kulikuwa kimehalibika kutokana na mateso ya shetani. maini yalioza, Figo zilishindwa kufanya kazi amelala hospitari kipindi cha mwaka mmoja hakupata uponyaji wakamwandikia kwenda India ila hakwenda kwanio alipata neema ya kufika ibadani na Mungu akamponya

 Je shida yako ni nini? futa machozi,usilie BWANA ameona kilio chako mbebeshe yeye fadhaa zako, umechosha na umasikini,umesahaulika,umekataliwa,unaupweke, Njaa, yatima, magonjwa,umeachwa na mmeo au mkeo? Fika NYUMBANI MWA BWANA nawe utapumzishwa kwa hakia Amina ubarikiwe na karibu sana.

Wednesday, January 6, 2016



Msalaba MEDIA ni kampuni ya kizalendo nchini Tanzania tupo tayari kuwahudumia wanamuziki wa kila kiwango kwa ubora atakao. Njoo tuzungumze, tufanye,uridhike na ufaidike. 

Tuesday, September 15, 2015

Rejoice Choir TAG Shinyanga

Ile choir maalufa katika mji wa Shinyanga imekamilisha kurekodi video yao toleo la pili liitwalo Watumishi. Katika hatua za awali kabisa kazi hii imeenda sasa na mipango endelevu ya kwaya hiyo ktk kumtumikia Mungu kwa  njia ya uimbaji. Kwa upande wa kampuni iliyohusika kurekodi ambayo ni Msalaba MEDIA  walipohojiwa na www.absonmhanje.blogspot.com wamesema maandalizi ya ya kurekodi  albumu hiyo mhimu yalikuwa sawa hivyo wadau na wapenzi wa muziki wa injili Tanzani wategemee kupata video yenye ubora wa hali ya juu. Kwani wanasema Msalaba MEDIA daima ni Standard Quality Excellence hawakuishia hapo nwakasema kazi uliyoiona jana ni tofauti na ya kesho kwani wanaamini katika Forward We Go

Tuesday, June 16, 2015

Safina Choir Arusha

Ni Ebenezer hakika hatimaye kwaya iliyokuwa na maono ya mda mrefu kabisa jijini Arusha imekamilisha kurekodi video ya album iitwayo FUNUA











Thursday, January 1, 2015

Mwaka Mpya Ibada Leo

Nguzo nne za Kanisa ni Neno la Mungu, Imani, Utakatifu &Utii. kama kanisa likijengwa kwa msingi wa Neno la Mungu ambae ni Kichwa cha kanisa yaani Kristo Yesu basi kuzimu halitalivunja hilo kanisa .Tanzania niwakati sasa wa kulijenga kanisa kufuatia nguzo hizi Nne za kanisa.